




Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu ( Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe kutoka Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo – IFAD wanaosimamia Programu ya Kuendeleza Sekta ya Kilimo na Uvuvi (AFDP) katika ukumbi wa Ofisi hiyo leo 12 Septemba, 2024 Jijini Dodoma.

More Stories
Mwanasheria Mkuu wa Serikali awataka TPBA kuwa wabunifu
Makatibu Wakuu wakutana kujadili mradi wa BRT
SCADA waimarisha udhibiti wa mafuta nchini