Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko leo amejumuika na viongozi na wananchi mbalimbali katika misa Takatifu ya kumwombea Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.
Misa inafanyika katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Mt. Yohana Maria Muzeyi, wilayani Chato mkoani Geita.





More Stories
Mawakili wa Serikali watakiwa kusimamia Utawala wa Sheria
0ryx Tanzania yazindua kitabu cha mwongozo Gesi ya LPG
NMB yatambuliwa Marekani kwa ubunifu wa bima kidijitali