Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko leo amejumuika na viongozi na wananchi mbalimbali katika misa Takatifu ya kumwombea Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.
Misa inafanyika katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Mt. Yohana Maria Muzeyi, wilayani Chato mkoani Geita.
More Stories
Watu wawili wafariki Kipawa kwa kuangukiwa na ukuta
DC Ludigija awataka Watanzania kujenga umoja miaka 60 ya Muungano
Kairuki akutana na Rais wa Apimandia Kamisheni ya Afrika