Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko leo tarehe 1 Aprili, 2024 ametembelea Kituo cha kuzalisha umeme cha Kidatu, wilayani Kilombero mkoani Morogoro kukagua matengezo ya Mitambo kufuatia hitilafu kwenye mfumo wa kudhibiti kiwango cha maji kwenye mitambo ya kufua umeme iliyosababisha athali kwenye Gridi ya Taifa iliyosababisha maeneo mengi ya Nchi kukosa huduma ya umeme.
Taarifa rasmi itawasilishwa
More Stories
Madaktari 1,109 kunufaika na ufadhili wa Rais Samia katika masomo ya ubingwa bobezi 2023/24
Kimbunga “HIDAYA”chazidi kuimarika
DC aeleza umuhimu wa mafunzo ya JKT