
Na Mwandishi wetu, Timesmajira Online DSM
Msanii mkongwe wa muziki Jose Chameleone Amewasili Nchini Tanzania kwaajili ya Tamasha kubwa la October Fest litakalofanyika coco Beach jijini Dar es salaam
Tamasha hilo la “SERENGETI LITE OKTOBA FEST” litajumuisha wasanii lukuki kutoka hapa Nchini Tanzania wakiongozwa na Alikiba, billinas, Chino kidd, Gnako na Msanii kutoka nchini kenya Nyamari ongegu “Nyashiski pamoja na Jose chameleone
More Stories
Pacha Milionea waja na truck mpya “Nyumbani”
Meya akabidhi Televisheni na king’amuzi Yanga
GETHSEMANE GROUP KINONDONI yaja na wimbo wa siku yetu kwaajili ya harusi