Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ametimiza haki yake ya msingi ya Kikatiba baada ya kukamilisha zoezi la kupiga kura katika Kituo cha Ofisi ya Serikali ya Mtaa Masaki Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni Mkoa wa Dar es Salaam.
“Serikali za Mitaa,Sauti ya Wananchi,Jitokeze Kushiriki Uchaguzi”
![](https://timesmajira.co.tz/wp-content/uploads/2024/11/IMG-20241127-WA0056-1024x682.jpg)
![](https://timesmajira.co.tz/wp-content/uploads/2024/11/IMG-20241127-WA0054-1024x682.jpg)
![](https://timesmajira.co.tz/wp-content/uploads/2024/11/IMG-20241127-WA0053-1024x682.jpg)
![](https://timesmajira.co.tz/wp-content/uploads/2024/11/IMG-20241127-WA0051-1024x682.jpg)
More Stories
Dkt.Kiruswa:Madini ya Tanzanite kuuzwa kwenye masoko ya ndani,nje ya Mirerani
Chalamila ataka jamii kutafsiri kwa vitendo maendeleo yanayofanywa na Rais Samia
Wassira:CCM tutashinda dola kwa kura,si bunduki