Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Dorothy Gwajima akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa hospitali ya CCBRT, Brenda Msangi (kushoto) cheti baada ya kushinda katika kipengele cha Mashirika yasiyo ya Kiserikali yaliyoajiri zaidi wakati wa Mkutano wa Mwaka wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali uliofanyika jijini Dodoma, jleo.Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa hospitali ya CCBRT, Brenda Msangi (wa pili kushoto) pamoja na wafanyakazi wa taasisi hiyo wakifurahia ushindi baada ya kutunikiwa cheti cha ushindi na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto baada ya kushinda katika kipengele cha Mashirika yasiyo ya Kiserikali yaliyoajiri zaidi wakati wa Mkutano wa Mwaka wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali uliofanyika jijini Dodoma, leo, Septemba 29.
More Stories
Rungwe yajenga soko kukuza uchumi kwa wananchi
Waislamu Mwanza wapokea Ramadhani kwa maandamano ya kidini
Kamati ya kudumu ya Bunge ya utawala,katiba na sheria yaridhishwa ujenzi soko Kariakoo