Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Dorothy Gwajima akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa hospitali ya CCBRT, Brenda Msangi (kushoto) cheti baada ya kushinda katika kipengele cha Mashirika yasiyo ya Kiserikali yaliyoajiri zaidi wakati wa Mkutano wa Mwaka wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali uliofanyika jijini Dodoma, jleo. Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa hospitali ya CCBRT, Brenda Msangi (wa pili kushoto) pamoja na wafanyakazi wa taasisi hiyo wakifurahia ushindi baada ya kutunikiwa cheti cha ushindi na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto baada ya kushinda katika kipengele cha Mashirika yasiyo ya Kiserikali yaliyoajiri zaidi wakati wa Mkutano wa Mwaka wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali uliofanyika jijini Dodoma, leo, Septemba 29. Post Views: 529 Continue Reading Previous DC asisitiza matumizi mazuri ya fedha za miradiNext Guza:Ujenzi wa majengo ya serikali wapamba moto More Stories 2 min read Habari Masache:Wizara ya Nishati ongezeni nguvu ya usambazaji na usafirishaji umeme April 25, 2024 Judith Ferdnand 4 min read Habari  Bunge lapitisha Sh. Trilioni 1.8 matumizi Wizara ya Nishati 2024/25 April 25, 2024 Hamisi Miraji 2 min read Habari TAKUKURU Temeke yasimamisha watumishi wake wawili April 25, 2024 Jackline Mkota
More Stories
Masache:Wizara ya Nishati ongezeni nguvu ya usambazaji na usafirishaji umeme
 Bunge lapitisha Sh. Trilioni 1.8 matumizi Wizara ya Nishati 2024/25
TAKUKURU Temeke yasimamisha watumishi wake wawili