Na Esther Macha,Timesmajira Online, Masasi IMEELEZWA kuwa kukamilika kwa kituo cha afya Mtandi katika Mji Masasi mkoani Mtwara kutapunguza msongamano...
Habari
NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID MAKAMU Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini, Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF),...
Na Esther Macha, Timesmajira, Online, Mbeya VIONGOZI wa dini,mila na Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mbeya wametoa baraka kwa Spika...
Na Mary Margwe,Timesmajira Online,SimanjiroWaziri wa Madini Dkt.Dotto Biteko ameipongeza Kampuni ya Franone Mining Kwa kuweka utaratibu mzuri wa kuwasaidia udongo...
Na Joyce Kasiki,timesmajira online,Dodoma IMEELEZWA Â kuwa bado makundi maalum likiwemo la walemavu, vijana na wanawake yapo nyuma kupata fursa za...
Na Joyce Kasiki,Timesmajira online,Dodoma RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara ya Ulinzi na Jeshi...
Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Balozi Dkt. Pindi Chana Julai 10, 2023 ametembelea Banda...
Na Iddy Lugendo, Timesmajira Online Hekari 535 za mashamba ya mirungi zimeteketezwa katika oparesheni maalum ‘Tokomeza Mirungi’, iliyoanzia kutekelezwa ndani...
Na Allan Vicent, TimesMajira Online, Tabora KAIMU Mkuu wa Mkoa wa Tabora Dkt Rashid Chuachua ambaye ni Mkuu wa wilaya...
Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa kushirikina na wizara ya afya imepanga kuendesha kamapeni ya polio...
