Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Sophia Edward Mjema kuwa Mshauri wa Rais masuala ya Wanawake na Makundi Maalum. Kabla ya uteuzi huu Sophia alikuwa Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM. Post Views: 1,091 Continue Reading Previous Wanafunzi St Mary’s waonyesha vipaji vya aina yakeNext BREAKING NEWS: Makonda tena CCM, achukua nafasi yake ya zamani, ni ile ya Mjema More Stories Habari Yas yaja na ‘Anzia Ulipo’ kuhamasisha watanzania kusimamia ndoto zao June 5, 2025 Hamisi Miraji Habari Coca-Cola Kwanza kuwanufaisha mama lishe Stendi ya Msamvu Marogoro June 5, 2025 Hamisi Miraji Habari Sheikh Ponda akabidhiwa kadi ya heshima ya Maalim Seif June 5, 2025 Penina Malundo
More Stories
Yas yaja na ‘Anzia Ulipo’ kuhamasisha watanzania kusimamia ndoto zao
Coca-Cola Kwanza kuwanufaisha mama lishe Stendi ya Msamvu Marogoro
Sheikh Ponda akabidhiwa kadi ya heshima ya Maalim Seif