Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Sophia Edward Mjema kuwa Mshauri wa Rais masuala ya Wanawake na Makundi Maalum. Kabla ya uteuzi huu Sophia alikuwa Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM. Post Views: 650 Continue Reading Previous Wanafunzi St Mary’s waonyesha vipaji vya aina yakeNext BREAKING NEWS: Makonda tena CCM, achukua nafasi yake ya zamani, ni ile ya Mjema More Stories Habari Kituo cha afya Kisiwa cha Rukuba chafungiwa umeme jua kurahisisha huduma February 24, 2025 zena chitwanga Habari Kapinga:Wakandarasi wasimamiwe kutekeleza miradi ya nishati kwa wakati February 24, 2025 Penina Malundo Habari Rungwe yajenga soko kukuza uchumi kwa wananchi February 24, 2025 zena chitwanga
More Stories
Kituo cha afya Kisiwa cha Rukuba chafungiwa umeme jua kurahisisha huduma
Kapinga:Wakandarasi wasimamiwe kutekeleza miradi ya nishati kwa wakati
Rungwe yajenga soko kukuza uchumi kwa wananchi