Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online, Morogoro
ALIYEKUWA Mjumbe wa Jukwaa la Wahariri nchini (TEF) Bakari Machumu (pichani), ameshinda nafasi hiyo dhidi ya mpinzani wake Joyce Shebe, katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika leo.
Machumu ampata kura 53 na Shebe kura 26 ambapo idadi ya wapiga kura ilikuwa 79 katika uchaguzi unaofanyika mkoani Morogoro, katika Ukumbi wa Nashera.
More Stories
Mkurugenzi VETA ateta na Mhitimu wa ushonaji, ubunifu na teknolojia ya nguo
Kamati ya Bunge yaipongeza Serikali ujenzi
Serikali kuzindua Sera ya Ardhi ya 1995 Toleo la 2023