MELBOURNE, Australia
BONDIA Vasilly Lomachenko, amekubali dili la kuzichapa na George Kambosos Jr (WBA, IBF, WBO). Lomachenko yupo kwao Ukraine kupigania amani ya nchi yake, huku juhudi zikifanyika kumtoa, ili aanze kambi kujiandaa na pambano hilo.
Pambano hilo linatarajiwa kufanyika Juni 05 mwaka huu mjini Melbourne, Australia.
More Stories
Kasulu FC mabingwa mashindano Khimji 2025
Fainali Khimji cup kufanyika Februari 7,2025
Naibu Waziri wa Fedha abariki ujio mpya wa Bahati Nasibu