MELBOURNE, Australia
BONDIA Vasilly Lomachenko, amekubali dili la kuzichapa na George Kambosos Jr (WBA, IBF, WBO). Lomachenko yupo kwao Ukraine kupigania amani ya nchi yake, huku juhudi zikifanyika kumtoa, ili aanze kambi kujiandaa na pambano hilo.
Pambano hilo linatarajiwa kufanyika Juni 05 mwaka huu mjini Melbourne, Australia.
More Stories
Bahati Nasibu ya Taifa, Selcom zashirikiana ununuzi wa tiketi
Bahati Nasibu ya Taifa, Vodacom zashirikiana kurahisisha miamala kidijitali
Bahati Nasibu ya Taifa, Shirika la Posta washirikiana