Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Prof.Faustin Kamuzora,(katikati), akikabidhiwa na viongozi wa Bodi ya Kahawa mashine ya kisasa ya kutayarisha kinywaji cha kahawa iliyokaangwa na kusagwa (Roasted and Ground) kama alama ya kutambua mchango wake wa kuwahimiza Watanzania kufahamu faida za kiafya na kutumia kahawa tunayoizalisha nchini. Kushoto ni afisa mauzo ya nje, Fatu kubonye na kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa, Prof. Jamal Adam.
More Stories
Mpina,Maganga kuendelea kuwafichua viongozi mafisadi na wabadhilifu
Wakazi Mahomanyika wamlilia Rais Samia kuingilia kati mgogoro wa ardhi
Dar kufanya kongamano maalum kuelekea maadhimisho ya siku ya Mwanamke Dunia