Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online
MSANII wa muziki wa Bongo fleva, Barakah the Prince amesema yupo mbioni kuachia ngoma yake mpya kwa ajili ya kuwapa raha mashabiki zake.
Akiweka wazi hilo kupitia IG yake Baraka amesema, ngoma hiyo itakuwa ya pili baada ya ile ya awali aliyoiachia hivi karibuni.
“Nafikiri ni muda mzuri sasa wa kuachia wimbo mwingine mpya, kwa hiyo fuatilia channel yangu ya Youtube kuanzia sasa,” amesema Baraka.
More Stories
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakiburudika kusubiri Uzinduzi Ilani ya CCM 2025-2030
Mwanamitindo Millen Magese apewa kibali kuandaa Miss Universe Tanzania 2025
Pacha Milionea waja na truck mpya “Nyumbani”