Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Joseph Sokoine amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa Kampuni ya Panafrican Energy Tanzania Ltd katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam.

Ujumbe wa Kampuni ya African Energy Tanzania Ltd umeongozwa na Mkurugenzi Mtendaji, Bw. Andrew Hanna ambapo viongozi hao pamoja na mambo mengine, wamejadili fursa za biashara na uwekezaji katika sekta ya gesi.

More Stories
Exim yaadhimisha miaka 29 yangu kuanzisha kwake
ONE GIRL PLUS yazinduliwa kuwafikia Watoto wa KikeÂ
Serikali yaridhishwa maandalizi NHIF kuelekea AFCON