
Na Mwandishi wetu, Timesmajira Online DSM
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa.
Balozi Siwa ameapishwa leo Agosti 28, 2023 Ikulu Jijini Dar es Salaam akichukuwa nafasi ya Said Hussein Massoro ambaye ameteuliwa kuwa Balozi.



More Stories
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
Mwenge wazindua jengo lenye thamani ya bil 3.4
Mavunde kuwa mgeni rasmi LCCF 2026