
Na Mwandishi wetu, Timesmajira Online
SHIRIKA la Ndege Tanzania (ATCL) Leo imesheherekea urejeshwaji wa safari zake za Dar es Salaam kwenda Guangzhou kwa kusafirisha ujumbe wa makampuni 25 yanayoongoza kwa watalii nchini China.
Ujumbe huo umeambatana na vyombo 6 vya habari mashuhuri kutoka nchini humo na umewasili na Air Tanzania kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Amani Abeid Karume, Zanzibar ukitokea Guangzhou, China.





More Stories
Kihongosi:Dira ya CCM ni kuhudumia wananchi
Tanzania yaongeza nguvu ajenda ya Wanawake Duniani
Tanzania yaahidi kuimarisha teknolojia saidizi kwa walemavu