
Na Mwandishi wetu, Timesmajira Online
SHIRIKA la Ndege Tanzania (ATCL) Leo imesheherekea urejeshwaji wa safari zake za Dar es Salaam kwenda Guangzhou kwa kusafirisha ujumbe wa makampuni 25 yanayoongoza kwa watalii nchini China.
Ujumbe huo umeambatana na vyombo 6 vya habari mashuhuri kutoka nchini humo na umewasili na Air Tanzania kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Amani Abeid Karume, Zanzibar ukitokea Guangzhou, China.




More Stories
Wananchi Vunjo watatua kero ya barabara,wataka zahanati yao
PPRA yawanoa watumishi upekuzi wa mikataba na majadiliano NeST
Lukuvi alitaka Baraza Ofisi ya Waziri Mkuu kuelimisha watumishi wengine