Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online
CHIPUKIZI wa muziki wa Bongo fleva kutoka Kondegangs, Anjella amesema wasanii wanatakiwa kupambana katika muziki iii waweze kufika pale wanapotaka.
Akiweka wazi hilo kupitia kwenye Ukurasa wake wa Instagram Anjella amesema,kila kitu kinapangwa na Mungu hata kama kina changamoto cha msingi kutokana tamaa.
“Kila kitu kinachotokea ujue Mungu amekiruhusu hata kama kiwe na changamoto kiasi gani, tunachotakiwa ni kupambana hadi tufike tunapotakiwa kufika, hakuna kukata tamaa,” amesema Anjella.
More Stories
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakiburudika kusubiri Uzinduzi Ilani ya CCM 2025-2030
Mwanamitindo Millen Magese apewa kibali kuandaa Miss Universe Tanzania 2025
Pacha Milionea waja na truck mpya “Nyumbani”