October 7, 2024

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli akizungumza jambo na mgeni wake Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye wakati akimtambulisha kwa baadhi ya Mawaziri wa Tanzania katika uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma leo. Picha zote na Ikulu

Rais Magufuli ampokea mgeni wake Rais wa Burundi Ndayishimiye mkoani Kigoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli akizungumza jambo na mgeni wake Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye wakati akimtambulisha kwa baadhi ya Mawaziri wa Tanzania katika uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma leo. Picha zote na Ikulu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli akiwa na mgeni wake Rais wa Burundi Mheshimiwa Evariste Ndayishimiye wakifungua kwa pamoja jengo la Mahakama Kuu Kanda ya Kigoma leo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli akiwa na mgeni wake Rais wa Burundi Mheshimiwa Evariste Ndayishimiye wakifurahia mara baada ya pamoja kufungua jengo la Mahakama Kuu Kanda ya Kigoma leo.