Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.
Ali Mohamed Shein, akitembelea eneo la Mradi wa Ujenzi wa Kiwanda cha
Mwani Chamanangwe Wilaya ya Wete Pemba na (kushoto kwa Rais) Waziri wa
Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe.Balozi Amina Salum Ali na Mkuu wa Mkoa
wa Kaskazini Pemba Omar Khamis Othman. Picha na Ikulu
More Stories
Serikali kutenga bajeti ya vyombo vya habari
Rais Dkt. Samia aridhia mikopo ya asilimia kumi
Wizara Afya yajipanga utekekezaji vipaumbele 10