







Picha zikionesha matukio mbalimbali ya mkutano wa kwanza wa Kampeni wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu (akiwasili, akipokelewa, akihutubia na wananchi wakifuatilia kwa namna mbalimbali) mkutano uliofanyika mapema asubuhi leo (Jumatano, Septemba 16, 2020), katika Uwanja wa Mlimareli, Mbalizi, mkoani Mbeya.








More Stories
Serikali yajipanga kuwa rafiki wa biashara
Wananchi Wahimizwa Kutafuta Ushauri wa Kisaikolojia kwa Wataalamu
Kihongosi amuita Msigwa Kanjanja wa Siasa