







Picha zikionesha matukio mbalimbali ya mkutano wa kwanza wa Kampeni wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu (akiwasili, akipokelewa, akihutubia na wananchi wakifuatilia kwa namna mbalimbali) mkutano uliofanyika mapema asubuhi leo (Jumatano, Septemba 16, 2020), katika Uwanja wa Mlimareli, Mbalizi, mkoani Mbeya.
More Stories
TAMISEMI yaomba kupitishiwa bajeti ya shilingi Trilioni 11.78
Sekiboko ahimiza uwekezaji Elimu ya ufundi
CAG alivyoibua madudu mashirika ya umma