







Picha zikionesha matukio mbalimbali ya mkutano wa kwanza wa Kampeni wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu (akiwasili, akipokelewa, akihutubia na wananchi wakifuatilia kwa namna mbalimbali) mkutano uliofanyika mapema asubuhi leo (Jumatano, Septemba 16, 2020), katika Uwanja wa Mlimareli, Mbalizi, mkoani Mbeya.








More Stories
Mhitimu asiyeona aeleza mafanikio ya useremala VETA
InnoIP Tanzania yazinduliwa kuimarisha ulinzi wa ubunifu
Atlas yazalisha gesi kwa maji