Picha zikionesha matukio mbalimbali ya mkutano wa kwanza wa Kampeni wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu (akiwasili, akipokelewa, akihutubia na wananchi wakifuatilia kwa namna mbalimbali) mkutano uliofanyika mapema asubuhi leo (Jumatano, Septemba 16, 2020), katika Uwanja wa Mlimareli, Mbalizi, mkoani Mbeya.
More Stories
DC aeleza umuhimu wa mafunzo ya JKT
JKT yazindua Boti yake kuongeza tija katika ulinzi,uzalishaji
Wahariri kujadili nafasi ya waandishi matumizi ya gesi