March 8, 2026

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Rhobi Samwelly achukua fomu kuomba ridhaa uwakilishi Viti Maluum Mara

Fresha Kinasa,TimesMajira Online,Mara. 

MJUMBE wa Baraza kuu la Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi Tanzania ( UWT) Mkoa wa Mara Rhobi Samwelly amechukua fomu ya kuombe kuteuliwa kugombea Ubunge kuwakilisha Wanawake (Viti Maalumu) kupitia chama Cha Mapinduzi Mkoa huo. 

Rhobi Samwelly amekabidhiwa fomu  hiyo Juni 30, 2025 na  Katibu wa  Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi Tanzania (UWT) Mkoa wa Mara Nderi Amos Isangya