Na Agnes Alcardo, Timesmajira Online
HALMASHAURI kuu ya CCM Taifa ( NEC) imefanya uchaguzi wa wajumbe wanne ambao ni Namelock Edward, Dkt. Juma Abdallah, Salim Faraj Abri ( Asas) na Hamad Chande.
Uchaguzi huo umefanyika leo Mei 28, 2025 kwenye kikao maalumu cha NEC kilichofanyika Jijini Dodoma.
More Stories
AI Spam Filter na Usalama wa Data Zako
Bodi ya Ithibati yasisitiza Waandishi wa Habari kuweka vyeti vya kitaaluma katika mfumo wa Tai-Habari
REA yahamasisha wananchi kutumia Mkaa Mbadala