Na Agnes Alcardo, Timesmajira Online
HALMASHAURI kuu ya CCM Taifa ( NEC) imefanya uchaguzi wa wajumbe wanne ambao ni Namelock Edward, Dkt. Juma Abdallah, Salim Faraj Abri ( Asas) na Hamad Chande.
Uchaguzi huo umefanyika leo Mei 28, 2025 kwenye kikao maalumu cha NEC kilichofanyika Jijini Dodoma.

More Stories
Senyamule:Serikali inapaswa kuzitambua Kampuni zinazofanya biashara ya ardhi
Serikali kuendelea kupanua fursa elimu Singida
Kumekucha CDF Cup 2026, NMB yaweka Sh milioni 150