Na Mwandishi wetu, Timesmajira
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Bara), Stephen Wassira amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Baraza la Taifa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Cuba Esteban Lazo Hernandez na ujumbe wake waliofika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba, Dar es Salaam leo Machi 6, 2025.
Katika mazungumzo viongozi hao waliahidi kuendeleza ushirikiano wa kihistoria kati Chama Cha Mapinduzi na Chama cha Kikomunisti cha Cuba, pamoja na Tanzania na Cuba.


More Stories
Dkt.Biteko :Serikali kujenga mtandao mkubwa wa mabomba ya gesi
Walimu waaswa kutowatenga watoto wenye ulemavu
Watoto yatima 100 wapatiwa bima za afya Rorya