

WATUMISHI 80 wa Chuo cha Maji watembelea hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro Kwa namna ya pekee Chuo cha Maji tunamshukuru Waziri wetu wa Maji kwani ametuondolea unyonge Chuo cha Maji leo hii tumeweza kutembelea hifadhi ya taifa ya Ngorongoro.
Asante Waziri wetu wa Mhe. Jumaa H. Aweso Unforgetable one katika Chuo cha Maji. Asante Dr. Adam Karia Mkuu wa Chuo kwa kusimamia vyema maono ya Jemedari Aweso.

More Stories
Tanzania mwenyeji wa mkutano wa Wanahisa wa Africa50, Jukwaa la miundombinu Afrika
Yas yazindua Mnara wa 5G Masasi
Wafanyabiashara wahimizwa kutumia nembo ya Tanzania