Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Taifa ya Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Mwalimi Elias Iyo, (katikati) akiwa ameshikilia fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya kugombea Ubunge Jimbo la Babati Mjini katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020. Picha na Joyce Kasiki.
More Stories
Serikali yazitaka taasisi kujiandaa kukabiliana na El Nino
PPRA yongeza fursa za Makundi Maalum nchini
WRRB yaanza uimarishaji mfumo stakabadhi za ghala