Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Taifa ya Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Mwalimi Elias Iyo, (katikati) akiwa ameshikilia fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya kugombea Ubunge Jimbo la Babati Mjini katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020. Picha na Joyce Kasiki.
More Stories
Puma Energy Yazindua Mradi wa Umeme wa Jua kwa Kiwanda cha Alliance One
‎Ungele:Mageuzi ya Wizara ya Afya ni ya kihistoria
Mkuu wa JKT awatoa hofu wazazi asema,JKT ni mahali salama