Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Taifa ya Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Mwalimi Elias Iyo, (katikati) akiwa ameshikilia fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya kugombea Ubunge Jimbo la Babati Mjini katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020. Picha na Joyce Kasiki.
More Stories
CRDB yazindua matawi Majimoto, Ilula kuwahudumia wananchi
Rais Samia apongezwa kwa kuboresha huduma kwa wazee
JKT laita vijana wa kujitolea,latahadharisha wananchi dhidi ya matapeli