Na Mwanadishi Wetu, TimesMajira Online, Zanzibar
MWANASIASA wa Zanzibar, Ibrahim Hassanali Raza, amechukua fomu za kuwania ubunge katika Jimbo la Kiembe Samaki.
Raza ambaye alikuwa mwakilishi aliyemaliza muda wake katika Jimbo la Kiembe Samaki amechukua fomu hiyo jana, JUlai 15 akiomba kuwania nafasi hiyo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

More Stories
Serikali yazitaka taasisi kujiandaa kukabiliana na El Nino
PPRA yongeza fursa za Makundi Maalum nchini
WRRB yaanza uimarishaji mfumo stakabadhi za ghala