Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki na viongozi mbalimbali leo wametembelea eneo lijulikanalo kama “Animal Kingdom” ikiwa ni Bustani ya wanyama hai kwenye Banda la Wizara hiyo katika Maonesho ya Saba Saba yanayoendelea Dar es Salaam pamoja na kujionea vivutio vingine.




More Stories
TRA yabaini ukwepaji kodi mkubwa viwandani
Dkt.Samia ahimiza wananchi kujitokeza kujiandikisha
CCM kufanya mkutano mkuu maalumu Mei 29-30,2025