Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Leo Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellqh Kairuki, amekutana na Bilionea wa Nchini Marekani Paul Tudor Jones ambaye pamoja na kuwekeza sekta ya hoteli na uhifadhi katika eneo la Grumeti, Serengeti hapa nchini ikiwa ni eneo pekee la Afrika linalotembelewa na mastaa wengi wa Marekani wakiwa nchini, pia ni mhifadhi muhimu anayeshirikiana na Serikali kuitangaza nchi.
More Stories
Mpoto awataka watanzania kuipenda, kuiheshimu lugha ya kiswahili
Majaliwa aagiza Lori likaondoe madawati shuleni
Waziri Mkuu ashtushwa na gharama za ujenzi wa nyumba za walimu