Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Leo Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellqh Kairuki, amekutana na Bilionea wa Nchini Marekani Paul Tudor Jones ambaye pamoja na kuwekeza sekta ya hoteli na uhifadhi katika eneo la Grumeti, Serengeti hapa nchini ikiwa ni eneo pekee la Afrika linalotembelewa na mastaa wengi wa Marekani wakiwa nchini, pia ni mhifadhi muhimu anayeshirikiana na Serikali kuitangaza nchi.



More Stories
RUWASA yakamilisha ujenzi wa visima Korogwe
Mch.Hananja awataka viongozi wa dini kuacha kutumia majukwaa ya kidini kwa kujitafutia umaarufu
Matiko atangaza nia ya kugombea Ubunge Kivule