Na Zuhura Zukheir, TimesMajira Online, Iringa.
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jackson Kiswaga amefika katika ofisi za chama hicho kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge Jimbo la KalengaÂ
Kiswaga amechukua fomu ya kugombea Jimbo la Kalenga ambalo lilikuwa linaongozwa na Mbunge Godfrey Mgimwa


More Stories
Kamati yapongeza WRRB, yataka WRS itumike kwa parachichi
Diplomasia ya Uchumi Kuimarisha Nafasi Tanzania Kiuchumi
Tanga kujiandaa kupokea Gesi Asilia kwa matumizi