MWENYEKITI wa Chama Cha Mapindizi (CCM), Samia Suluhu Hassan,ambaye pia ni Rais wa Jamhuria ya Muungano wa Tanzania, akifungua semina ya mafunzo kwa ajili ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) leo Unguja , Zanzibar. (Picha na CCM Makao Makuu)
Mafunzo hayo yanafanyika kwa siku mbili ikiwa na lengo la kuendelea kuwajengea uwezo wajumbe pamoja kuimarisha Chama Cha Mapinduzi.Â
More Stories
RC Mwanza afanya ziara ya kikazi katika mradi wa uwekezaji jengo la Hotel ya nyota tano wa NSSF
Wasichana vinara waiomba serikali kuondoa kodi kwenye taulo za kike
Tigo watoa msaada kwa waathirika wa mafuriko Karatu