


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe kuzindua jengo la Mpanda Plaza ambalo ni kitegauchumi cha Shirika la Taifa la Nyumba (NHC), mjini Mpanda, Julai 4, 2020. Wa pili kulia ni Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Mhandisi Isack Kamwelwe, kulia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula, kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Katavi Juma Homela na wapili kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Dkt. Maulid Banyani.
More Stories
Waumini Kanisa la KKAM waipeleka Mahakamani bodi ya wadhamini KKKT
Mjumbe UWT Taifa awataka vijana kutokubali kutumika kuvuruga amani
Dkt.Mabula aomba mabonde Ilemela yatumike kwa Kilimo cha umwagiliaji