Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Peter Mavunde leo amefungua mkutano wa siku 2 wa nchi wazalishaji wa zao la Tumbaku kusini mwa jangwa la Sahara ambazo zinajulikana kama T5 .
Mkutano huo umefunguliwa leo katika Hotel ya Mount Meru Jijini Arusha ukihudhuriwa na wawakilishi kutoka nchi za Tanzania, Zimbabwe, Malawi, Zambia na Msumbiji ambao pia una dhamira ya kutengeneza sauti ya pamoja ya mkakati wa utekelezaji wa Mkataba wa Kimataifa wa Shirika la Afya Duniani( WHO ) juu ya udhibiti wa matumizi wa matumizi ya Tumbaku.




More Stories
REA yaing’arisha Nishati Safi EXPO 2026 Dar
Wananchi watahadharishwa dhidi ya bidhaa bandia
RAS apongeza mfumo kudhibiti upotevu wa mafuta