Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online, Kilwa
Zitto, Bwege wakamatwa na Polisi
KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe na aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kilwa Kusini, Selemani Bungara (Bwege) wamekamatwa na Polisi muda huu wakiwa kwenye kikao katika Jimbo la Kilwa Kusini.
Taarifa iliyotolewa hivi punde kwa vyombo vya habari na Naibu Katibu Uenezi, Habari na Mahusiano kwa Umma wa ACT-Wazalendo, Janeth Rithe, imethibitishwa kukamatwa kwa Zitto.


More Stories
Auto Login: Urahisi Unaoweza Kuhatarisha Faragha na Usalama Wako Mtandaoni
Notifications: Teknolojia Muhimu Katika Maisha ya Kidijitali
No Reforms, No ElectionsJe, Ni Harakati Halali au Usumbufu wa Kidijitali? Kauli Yachambuliwa