Na Mwandishi Wetu, TimesMajira,Online
MWENYEKITI wa BAWACHA Taifa, Sharifa Sulleman, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, kuangalia kwa jicho la tatu kesi inayowakabili wabunge 19 wa chama hicho.
Sharifa ametoa kauli hiyo kupitia hotuba yake ya BAWACHA kwenye kongamano la Siku ya Wanawake Duniani, ambapo Rais Samia alikuwa mgeni rasmi.
More Stories
Polisi kuchunguza madai ya mwanafunzi kutupa kichanga chooni
Sekiboko ahimiza uwekezaji Elimu ya ufundi
Wazee wawili jela maisha kwa kubaka na kulawiti