Na mwandishi wetu,TimesMajira Online
Kuelekea siku ya Wanawake dunia, baadhi ya Wanawake wafanya kazi wa bandari kushirikiana na wadau mbali mbali wametoa Millioni 29 kwa magereza ya Wanawake segerea pamoja na mahabusu ya watoto iliyopo upanga wakiwa na lengo la kuigusa jamii yenye mahitaji kabla ya kilele cha siku ya Wanawake.
More Stories
TANAPA kuboresha miundombinu Hifadhi ya Taifa Ibanda- Kyerwa
Benki ya NMB yapata idhini kuwa wakala wa madalali wa Soko la Hisa Dar es Salaam
Urambo,Kaliua kupitia upya mipaka ya kiutawala