Na mwandishi wetu,TimesMajira Online
Kuelekea siku ya Wanawake dunia, baadhi ya Wanawake wafanya kazi wa bandari kushirikiana na wadau mbali mbali wametoa Millioni 29 kwa magereza ya Wanawake segerea pamoja na mahabusu ya watoto iliyopo upanga wakiwa na lengo la kuigusa jamii yenye mahitaji kabla ya kilele cha siku ya Wanawake.





More Stories
Wajenga nyumba ya watumishi kwa mapato ya ndani
Sangu: Michango ya Hifadhi ya Jamii ni Haki ya Msingi ya Mfanyakazi
Falsafa ya 4R Ya Rais Samia, yaongeza Ushirikiano wa Tanzania,China