Na mwandishi wetu,TimesMajira Online
Kuelekea siku ya Wanawake dunia, baadhi ya Wanawake wafanya kazi wa bandari kushirikiana na wadau mbali mbali wametoa Millioni 29 kwa magereza ya Wanawake segerea pamoja na mahabusu ya watoto iliyopo upanga wakiwa na lengo la kuigusa jamii yenye mahitaji kabla ya kilele cha siku ya Wanawake.




More Stories
Shekhe Mavumbi ahamasisha waislamu kupiga kura
Naibu Waziri Nderiananga awasilisha salamu za pole msiba wa mdogo wake Lukuvi
Kiongozi wa Mwenge apongeza wananchi kupelekewa huduma ya maji Handeni