Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online.
Benki ya NMB imeshiriki kilele cha wiki ya Sheria nchini iliyomalizika leo jijini Dodoma.
Pichani, Meneja wa Kanda ya Kati NMB, Nsolo Mlozi akisalimiana na Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Prof. Edward Hosea na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Jaji Dkt. Eliezer Feleshi.



More Stories
EWURA yahamasisha uwekezaji vituo vya mafuta vijijini
NMB yawekeza Bil. 224 katika ufadhili wa mgodi wa dhahabu wa Geita
Serikali yaendelee kuwawezesha mitaji vijana