Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online.
Benki ya NMB imeshiriki kilele cha wiki ya Sheria nchini iliyomalizika leo jijini Dodoma.
Pichani, Meneja wa Kanda ya Kati NMB, Nsolo Mlozi akisalimiana na Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Prof. Edward Hosea na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Jaji Dkt. Eliezer Feleshi.



More Stories
Ilemela yatoa mikopo kwa vikundi 41
Benki ya Absa nchini yalenga kuwezesha wasichana 5,000 kupata ujuzi wa AI kupitia mpango wa ElevateHer
Bilioni 7 kuwainua vijana 308 sekta ya uvuvi