Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Othman Masoud Othman, amehudhuria Uzinduzi wa Huduma za Kampuni ya Usafirishaji ya DNATA hapo ‘Terminal 3’, katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Kiembesamaki, Unguja.

Hafla hio iliyofanyika leo Januari 26, 2023 imeongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi.

More Stories
Bilioni 7 kuwainua vijana 308 sekta ya uvuvi
Clara:Miaka 50 ya Sabasaba fursa mpya za Biashara na Uwekezaji
Usajili wa Laini za Simu: Jilinde Dhidi ya Kutumiwa Vibaya kwa Utambulisho Wako