Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Katika kusherekea maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi Zanzibar, wafanyakazi wa Benki ya NMB kutoka matawi ya Zanzibar wameungana na Baraza la Udhibiti la Mifumo wa utoaii Leseni (BLRC) Zanzibar kufanya usafi Kwenye viwanja vya Maisara.

Hii ikiwa ni ushiriki wao kwenye shughuli mbalimbali za kijamii zilizopangwa na serikali katika kuadhimisha sikukuu ya Mapinduzi Zanzibar.

Benki hiyo ni mmoja wa wadhamini wa michuano ya kombe la Mapinduzi yatakayofanyika kesho uwanja wa Amaan.
More Stories
YAS yatoa Elimu ya mtandao Karibu Kill Fair ,yajipanga kuinua sekta ya utalii
Puma Energy Yazindua Mradi wa Umeme wa Jua kwa Kiwanda cha Alliance One
Exim yatangaza mafanikio makubwa na mwelekeo madhubuti 2025