Mwenyekiti wa Jumuiya ya Uomja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mary Chatanda akipokea kwa niaba ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan zawadi ya picha ya kuchora ya Rais kutoka kwa Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Dodoma, Neema Majule katika mkutano wa kumpongeza Dkt. Samia kwa ushindi mkubwa alioupata katika uchaguzi wa chama hicho lakini pia kumkaribisha Chatanda.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Mkutano huo uliofanyika Disemba 9, 2022 kwenye Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma ulihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa UWT na wanachama wa CCM ambapo pia Chatanda na makamu wake Zainab Shomari walizawadiwa zawadi mbalimbali
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama (kushoto) akipokea tuzo kwa niaba ya Rais kutoka kwa Mwenyekiti wa UWT Taifa, Chatanda.
Makundi mbalimbali yakitoa zawadi kwa Mwenyekiti wa UWT Taifa, Chatanda na Makamu Mwenyekiti Zainab Shomari.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
More Stories
Rais Samia aomboleza kifo cha Papa Francisko
Papa Francis afariki Jumatatu ya Pasaka akiwa na miaka 88
Kanisa la Shincheonji la Yesu nchini Ufaransa lakanusha ripoti ya Le Parisie