Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
NIC Insurance imekabidhi hundi ya shilingi milioni 40 kwa Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Mohamedi Mchengerwa ikiwa ni zawadi na motisha kwa wachezaji wa timu ya Serengeti Girls kufika hatua ya nusu fainali kwenye michuano ya kombe la dunia nchini India.



More Stories
Pre-Betika Tulia Marathon kuhamasisha mazoezi kwa jamii
“Michezo ni afya,ajira” -DC.Ngubiagai
Watanzania wang’ara Yas Kill Intenational half Marathon 2026