Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
NIC Insurance imekabidhi hundi ya shilingi milioni 40 kwa Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Mohamedi Mchengerwa ikiwa ni zawadi na motisha kwa wachezaji wa timu ya Serengeti Girls kufika hatua ya nusu fainali kwenye michuano ya kombe la dunia nchini India.


More Stories
Bahati Nasibu ya Taifa, Selcom zashirikiana ununuzi wa tiketi
Bahati Nasibu ya Taifa, Vodacom zashirikiana kurahisisha miamala kidijitali
Bahati Nasibu ya Taifa, Shirika la Posta washirikiana