Waziri Mkuu wa Zamani, Mizengo Pinda akipata ufafanuzi kutoka kwa mgunduzi wa mita akimuelezea jinsi mita hiyo inavyotoa taarifa pale maji yanamwagika hovyo mtaani na unlipia maji kabla ya kuyatumia wakati alipotembelea banda la Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech) kwenye maonesho ya 46 ya Sabasaba.
More Stories
Ussi awataka wananchi Handeni kulinda miundombinu ya maji
Wapambe waanza rafu za uchaguzi Morogoro Mjini
Daraja la J.P.Magufuli kuzinduliwa Juni 19,2025