Na Mwandishi Wetu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, kesho Ijumaa atakuwa mgeni rasmi katika Mkutano Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT).
Mkutano huo utafanyika katika uwanja wa Jamhuri, jijini Dodoma huku watu wote wakitakiwa kuzingatia na kuchukua tahadhari zote za kujikinga na ugonjwa wa Covid-19 wakati wa tukio hilo.
More Stories
Boshe:ALF imekutana kutambua Maendeleo Endelevu ya Bara la afrika
Kikwete:Afrika yazidi kusonga mbele,mafanikio kuanza kuonekana
Diwani awapa bima za afya watoto wa mahitaji maalum