Mwenyekiti wa ‘Alliance for Green Revolution in Africa’ (AGRA) na Waziri Mkuu mstaafu wa Ethiopia, Hailemariam Dessalegn (aliyeketi watatu kutoka kushioto), na Mjumbe wa Bodi wa AGRA na Rais mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete (aliyeketi wanne kutoka kushoto), Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Ishmael Kasekwa (aliyeketi wa pili kutoka kulia), na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Derick Lugemala (aliyeketi kulia) katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa kiwanda cha JOYDONS (T) Ltd., kiwanda cha kuchakata mahindi na kusaga unga wa sembe Wilayani Bagamoyo. TADB imetoa mkopo wa kiasi cha sh. Bilioni 1.2 kwa kiwanda hicho kwa ajili ya kununua mashine za kisasa za kuchakata mahindi na kusaga unga wa sembe na ghala ya kisasa. Aliyeketi kutoka kushoto ni Makamu wa Rais wa AGRA, Vanessa Adams na Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Sarah Msafiri. Post Views: 1,018 Continue Reading Previous Serikali yaagiza shamba la Mabuki kuongezewa ulinziNext Ziara ya kikazi ya Naibu Waziri Mary Masanja wilayani Mkuranga More Stories 2 min read Habari Maadhimisho siku ya nyuki Duniani ni fursa adhimu kiuchumi May 19, 2024 Penina Malundo 3 min read Habari NMB ‘yafunga ndoa’ na wanawake wanaomiliki shule, vyuo Tanzania May 18, 2024 Jackline Mkota 2 min read Habari RC Mwanza afanya ziara ya kikazi katika mradi wa uwekezaji jengo la Hotel ya nyota tano wa NSSF May 18, 2024 Jackline Mkota
More Stories
Maadhimisho siku ya nyuki Duniani ni fursa adhimu kiuchumi
NMB ‘yafunga ndoa’ na wanawake wanaomiliki shule, vyuo Tanzania
RC Mwanza afanya ziara ya kikazi katika mradi wa uwekezaji jengo la Hotel ya nyota tano wa NSSF