Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge (kulia) akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Japhet Justine (kushoto), alipoitembelea benki hiyo jana jijini Dar es Salaam kuzungumzia uwekezaji na maendeleo ya kilimo ya mkoa wa Ruvuma.
More Stories
Shekhe Mavumbi ahamasisha waislamu kupiga kura
Naibu Waziri Nderiananga awasilisha salamu za pole msiba wa mdogo wake Lukuvi
Kiongozi wa Mwenge apongeza wananchi kupelekewa huduma ya maji Handeni