Na Mwandishi Wetu TimesMajira Online
MKUU wa Mkoa wa Mara Ally Hapi amewaapisha Wakuu wa Wilaya walioteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Miongoni mwa waliopishwa ni Juma Issa Chikoka maarufu kama Mchopanga kuwa Mkuu wa Wilaya ya Rorya, Joshua Nassari kuwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Dkt. Viccent Mashinji kuwa DC Serengeti.
More Stories
BAKWATA yawazawadia washindi wakuhifadhi Qur’an
Chalamila:Dar ni salama,aelezea mafanikio na mipango ya maendeleo ya Mkoa
Ulaji vyakula vya aina moja,umri vyatajwa ongozeko la matatizo ya macho Mbeya