Na Angela Mazula, TimesMajira Online
WABUNGE wamemchagua mbunge wa Jimbo la Kongwa Job Ndugai kuongoza kiti cha uspika kwa kumpa kura ya ndio huku kura mmoja ikimkataa.

Ndugai alikuwa mgombea pekee wa kiti hicho uliofanyika Dodoma leo.
Akitangaza ushindi huo mwenyekiti wa muda Mbunge wa Jimbo la Ismani William Lukuvi amesema kuwa ushindi alioupata ni sawa na asilimia 99.7.
Spika Ndugai ameapa mbele ya Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuitumikia vyema Jamuhuri na kutenda haki kwa watu wote kwa mujibu wa katiba, kanunu za bunge na sheria.
More Stories
Lushoto watakiwa kumuunga mkono Rais Samia kuimarisha elimu
Zaidi ya bilioni 100 zatolewa kwa ajili ya madaraja 13,Lindi
Serikali kupeleka milioni 100 kwa ajili ya kituo cha afya Saranga