Ni kupitia mauziano ya umeme na upembuzi yakinifu mradi wa Bomba la Gesi Tanzania- Mombasa
Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Waziri wa Nishati Deogratius Ndejembi na Waziri wa Nishati na Petroli wa Jamhuri ya Kenya,Opiyo Wandayi wamesaini makubaliano ya ushirikiano ya kuanza mauziano ya umeme baina ya Tanzania na Kenya pamoja na upembuzi yakinifu wa mradi wa ujenzi wa bomba la gesi asilia kutoka Dar es Salaam hadi Mombasa.
Makubaliano hayo yamefanyika Mei 04, 2026 Ikulu jijini Dar es Salaam mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kenya, Dkt. William Samoei Ruto ambaye yuko nchini kwa ziara yake ya kitaifa.



More Stories
Kihongosi:CCM tunaamini katika maridhiano
CCM yasisitiza mshikamano ikiunga mkono ripoti ya Jaji Chande
Mwanasheria Ndege,Mwanaharakati Alphonce waunga mkono jitihada za Serikali