March 7, 2026

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Dkt.Mwingulu akague uharibifu mizani ya magari Mpemba,Songwe

Na Mwandishi wetu,Timesmajira

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 17,2025 amekagua uharibifu uliofanyika katika mizani ya magari iliyopo Mpemba, mkoani Songwe, uharibifu huo ulitokana na vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025.

Dkt. Mwigulu yupo mkoani Songwe kwa ziara ya kikazi