Na Agnes Alcardo,Timesmajira Online
WAZIRI wa Vijana, Joeli Nanauka, amewataka vijana kushiriki kwenye michezo mbalimbali ili kukuza umoja na maendeleo katika jamii pamoja na kuimarisha afya.
Nanauka ameyasema wakati wa msimu wa nne wa mbio za Korosho(Korosho Marathon)ziliyodhaminiwa na Benki ya Exim.

Nao uongozi wa Benki ya Exim, umesema, unajivunia kuwa sehemu ya msimu wa nne wa mbio hizo uliofanyika mkoani Mtwara,ikiwa ni kuunga mkono juhudi katika michezo, ustawi wa jamii na afya.
Ambapo inaamini kuwa michezo ni jukwaa muhimu la kuhamasisha maendeleo chanya, kuimarisha uhusiano wa kijamii na kujenga taifa lenye afya bora.


More Stories
Wanawake jumuia ya kikristo Tanzania CCT wafundana kuelekea siku ya Wanawake Duniani
Dkt.Tulia,Mwalunenge waungana kutatua changamoto ya barabara
TUCASA yaomba kuanzishwa sheria malipo sekta ya ujenzi